Nafasi Ya Matangazo

October 11, 2014

  Mkurugenzi Mtendaji  wa Kituo cha Sheria na Haki za 
Binadamu (LHRC), Dk.Helen Kijo-Bisimba.
 Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio (kulia) akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Dawati la Katiba, Anna Henga. 
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Helen Kijo-Bisimba (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akitoa tamko la maadhimisho ya siku ya kupinga adhabu ya kifo Duniani. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Idara ya Dawati la Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji, Imelda Urrio.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062) 
Posted by MROKI On Saturday, October 11, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo