Nafasi Ya Matangazo

September 04, 2014

Picha ya pamoja ikiwaonesha mameneja wa Vilabu mbalimbali vikubwa duniani walipokutana kwa siku mbili katika mkutano Mkuu wa Mameneja wa kila mwaka katika Makao Makuu ya UEFA huko Nyon, Uswisi. Meneja wa Zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson (wanne kulia) alihudhuria kama balozi maalum katika mkutano huo uliohudhuriwa pia na Rais wa UEFA, Michele Platini. Picha ndogo ni Sir.Ferguson akionekana kutaniana na Arsene Wenger pamoja na bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini.
Posted by MROKI On Thursday, September 04, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo