Nafasi Ya Matangazo

September 04, 2014

Radamel Falcao (wapili kushoto) akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wa Colombia huko Miami. 

Mshambuliaji Nyota aliyesajili na Manchester United, Radamel Falcao amebainisha yakuwa alikuwa katika mazungumzo na mashetani hao wekundu takriban miezi minne iliyopita.

Nyota huyo kutoka Colombia amesema alikuwa tu akificha ukweli kwa mabosi zake wa zamani wa Real Madrid kabla ya kuhamia kwakwe Old Trafor.

Falcao alibainisha hayo wakati akihojiwa juu ya maandalizi dhidi mchezo wa kirafiki baina ya timu yake ya Colombia na Brazili utakao pigwa kesho amesema" Ninajisikia furaha sana kuichezea Manchesta United"
Posted by MROKI On Thursday, September 04, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo