Nafasi Ya Matangazo

August 27, 2014

 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, kutoka Wizara ya Viawanda na Biashara, Ismail Mfinanga akifungua warsha ya siku tatu ya viongozi mbalimbali kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kutoka wizara za Viwanda, Kilimo na Afya wakishiriki warsha hiyo juu ya utoaji taarifa na uulizwaji taarifa (SPS). Mkutano huo ulianza Dar es Salaam Agosti 26-28 mwaka huu.
 Oswald Chinyamakobvu kutoka Secretariet ya SADC akizungumza wakati wa ufunguzi wa Warsha hiyo.
  Chiluba Mwape kutoka Secretariet ya SADC akizungumza wakati wa ufunguzi wa Warsha hiyo.
 Washiriki wa warsha hiyo wakifuatilia kwa makini hotuba ya ufunguzi.
 meza kuu ikifuatilia utambulishi wa wajumbe.
 Washiriki wakiendelea na ufutailiaji wa ufunguzi.
 Chiluba Mwape kutoka Secretariet ya SADC akielezea kwa ufupi mpango huo wa SPS ambao unalengo la kuweka uwazi katika upatikanaji wa taarifa za bidhaa  zizalishwazo katika ukanda huo.
Picha ya pamoja ya washiriki wote.
Posted by MROKI On Wednesday, August 27, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo