Nafasi Ya Matangazo

April 24, 2014

 
Askari wa Uslama barabarani akimuamuru mwadada kuondoka na kuacha kumsumbua wakati akiongoza magari katika barabara ya Azikiwe Dar es Salaam jana jioni ambapo dada huyo anadaiwa kukaidi amri ya kusimama wakati akiongoza magari yaliyokuwa yakitoka barabara ya Garden Avenue kukatiza Barabara ya Azikiwe na Askari huyo kulazimika kumchomolea funguo yake na kumuweka kiporo kwa muda mrefu jambo ambalo lilimfanya dada huyo kwenda kumpigia magoti afande amhurumie. Jitihada zake zilizaa matunda na kupewa funguo yake na kuondoka. Tunakumbushwa kuheshimu sheria za Usalama barabarani na Mamlaka zinazosimamia sheria hizo.
Posted by MROKI On Thursday, April 24, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo