Nafasi Ya Matangazo

March 11, 2014

Tunawaomba RADHI kutokana na kutoonekana kwa vipindi vyetu hewani kuanzi jumamosi tarehe 8. Hii imetokana na sisi Kama waandaaji kuwaomba TBC KUSITISHA kurusha vipindi.

Kipindi cha kwanza kilirushwa saa 4.20 usiku, cha pili kikarushwa saa 4.50 usiku, cha tatu kikarushwa saa 3 usiku na cha nne (cha jumamosi) HAKIKURUSHWA KABISA!

Kwa kuwa jambo hili linahusisha makubaliano, tunaomba muwe na subira wakati tukirekebisha mambo ili muweze kuitazama Maisha Plus SEHEMU na muda UNAOELEWEKA ndani ya siku chache zijazo.
Tunawaomba RADHI kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
 

Imetolewa na Uongozi
dMb Co. Ltd
Posted by MROKI On Tuesday, March 11, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo