Nafasi Ya Matangazo

December 14, 2012

 Naibu Waziri, Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo, Amos Makalla akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Uzamili ya biashara (MBA) wakati wa Mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Diamond Jumblee.
 Naibu Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Amos Makalla akiwa na familia yake muda mfupi baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili ya biashara (MBA) wakati wa Mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Diamond Jublee
 Naibu Waziri wa Habari VijanaUtamaduni na Michezo Amos Makala akipongezwa na Mbunge wa Mkanyageni (CUF) Habib Mnyaa muda mfupi baada ya kutunukiwa Shahada ya uzamili ya biashara wakati wa Mhafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam
 Naibu Waziri, Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Amos Makalla akiwa na baadhi ya wahitimu wenkaze
Naibu Waziri, Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo, Amos Makalla akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Uzamili ya biashara (MBA) wakati wa Mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Diamond Jumblee
Posted by MROKI On Friday, December 14, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo