Nafasi Ya Matangazo

November 13, 2012

 Afisa bishara mkuu wa (FASTJET) Richard Bodin akiongea na waandishi wa habari leo katika uzinduzi wa mauzo ya tiketi nchini Tanzania kwa bei nafuu zaidi kuliko shirika lolote la ndege nchini ambapo amesema kuanzia tarehe 29 mwezi huu wateja watanufaika na huduma za shirika hilo kwa viwango vya bei nafuu hadi kufikia dola 20 bila vat ya serikali kwakupitia shirika hilo ambapo hapo awali lilikuwa linajulikana kama FLY540 ambapo kwa hapa Dar es salaam imechaguliwa kuwa kituo cha uendeshaji wa shirika hilo uzinduzi huo ulifanyika kwenye Hotel Serena jijini Dar es salaam
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano huo
Posted by MROKI On Tuesday, November 13, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo