Nafasi Ya Matangazo

July 03, 2012

 RaisDkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri yakidemokrasia ya Kongo(DRC) mjni  Bujumbura Burundi ambapo walifanya mazungumzo.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Naibu Wazirimkuu wa Ubelgiji  Bwana Didier Reyndersmjini Bujumbura Burundi leo baada kufanya mazungumzo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Katibumkuu wa Maziwa Makuu Professa Ntumba Luaba Alphonse mjini Bujumbura Burundileo
Posted by MROKI On Tuesday, July 03, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo