Nafasi Ya Matangazo

June 17, 2012

Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Production Ritha Paulsen akitolewa damu na Mkuu wa Kitengo cha Damu Salama kituo cha Dodoma Dk Leah Kitundya muda mfupi kabla ya kuanza kwa zoezi la kusaka vipaji vya wasanii chipukizi mkoa wa Dodoma, aliyeko pembeni yake ni Hawa Iche mkuu wa Mawasiliano wa Zantel

Majaji Maadam Ritah katikati Salama Jabir kulia na Paoul wakiwa kazini wakati wa kusaka vipaiji vya Bongo Star Search mjini Dodoma
Vijana wakionyesha vitu vyao mbele ya Camera wakati wa zoezi la kusaka vipaji vya washiriki wa Bongo Satr Search Mjini Dodoma
Posted by MROKI On Sunday, June 17, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo