Nafasi Ya Matangazo

May 19, 2012

Mkurugenzi wa Msama Promotons, Alex Msama akimkabidhi msaada wa baiskeli ya watu wenye ulemavu, mkazi wa Buguruni jijini Dar es Salaam, Mohamed Komu kwa ajili ya kumsaidia katika kazi zake. Msaada huo ni sehemu ya mapato yaliyotokana na tamasha la Pasaka lililofanyika hii karibuni kwenye Uwanja wa Taifa na mjini Dodoma kati ya Aprili 8-9.
Posted by MROKI On Saturday, May 19, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo