Nafasi Ya Matangazo

February 16, 2012

Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC),Balozi Elly Mtango (katikati) akizungumza wakati wa Semina ya siku moja ya Wahariri na Waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji,Raymond Mbilinyi na Mkurugenzi wa Utafiti na Habari,John Kyaruzi.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji,Raymond Mbilinyi akizungumza wakati wa Semina ya siku moja ya Wahariri na Waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika Semina ya siku moja iliyoandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) iliyofanyika Dar es Salaam leo.
Ankal akiwa na Baadhi ya wadau waliokuwa wamehudhuria semina hiyo iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Thursday, February 16, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo