Nafasi Ya Matangazo

December 31, 2011


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Adolphina chialo akimkabidhi zawadi za Mwaka mpya Bi. Haruna Selemani (54) anaeishi katika kambi ya wazee wasio Jiweza ya Fungafunga mjini Morogoro juzi. Zawadi hizo zimetoklewa na Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania (TPFNET) mkoa wa Morogoro.Misaada hiyo yote ilikuwa na thamini ya Shilingi 300,000/=.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, Adolphina Chialo akimkabidhi sehemu ya msaada kwa mtoto, Rose Juma (12) hapa Chialo akimkabidhi, Seleman Kisengo (12) ambapo watoto hao ni miongoni mwa watoto wanaoishi katika kambi hiyo ya wazee wasiojiweza ya Fungafunga.
Posted by MROKI On Saturday, December 31, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo