Nafasi Ya Matangazo

August 21, 2011

BENDI ya mziki ya msondo ngoma imepata TUZO ya the Best Rhumba Group
 katika East Africa Music Awards mashindano yariyofanyika Nairobi Kenya
 na kukusanyika kwa bendi za Afrika Mashariki na bendi ya msondo
 kuibuka Kidedea katika mashindano hayo akisibitisha ushindi uho meneja
 wa bendi Saidi KIbiriti alipokuwa akiongea na Msemaji wa Bendi hiyo,
 Rajabu Mhamila , Super D

 Alisema wameshinda tuzo hiyo na watahakikisha wanaionesha kwa
 mashabiki wa bendi hiyo ili kudhirisha kuwa bendi ipo ng'ang'ari
 popote duniani mana bendi imekamilika kila idara alisema Super D
 (pichani)

 Bendi hiyo itanza mazoezi siku ya jumatatu kwa ajili ya kujiandaa na
 sikukuu ya Iddi inayotarajia kufanyika wiki ijayo ambapo wanaingia
 kambini kusuka vibao vipya ikiwemo na kuvifanyia kazi vile vya Zamani

 Super D alisema bendi hiyo siku ya Iddi Mosi itapiga katika viwanja
 vya TTC Chang'ombe ambapo mashabiki watapata kuona tuzo hiyo ya Afrika
 Mashariki walioitwaa hivi karibuni na kupata fulsa ya kupiga nayo
 picha katika viwanja hivyo

 Bendi hiyo inayotamba na vibao vyake vipya vya Suluu uliotungwa na
 Shabani Dede na Nadhili ya Mapenzi uliotungwa na Juma Katundu
Posted by MROKI On Sunday, August 21, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo