Nafasi Ya Matangazo

March 29, 2011

 Hii ilikuwa leo mchana pale Posta karibu na NBC Club mgambo wa Manispaa ya Ilala walipomkwida mvuja jasho huyu kwa kosa la kuuza nguo mtaani.
 Walimvamia kundo mithili ya jamabazi aliye na silaha kali....
 Baadhi ya nguo zake...
Hapa alifikishwa kwa mkuu wao kujibu tuhuma.
Licha ya kuwa wachuuzi hawa wanachafua mandhari ya jiji saaaafi la Dar e Salaam lakini Mgambo hawa wamekuwa ni wanyanyasaji wakuwa wa vijana hawa walio amua kijitafua ridhiki na kukwepa kazi za ukabaji na uporaji.

USHAURI
Ni vyema Mgambo hawa wakatafuta kazi nyingine ya kufanya kama vile kufuatilia watu wanao chafua mji kwa kutupa taka hovyo na kukusanya faini hizo. Mfano mzuri ni katika jiji la Mwanza na Manispaa ya Moshi.

Mgambo hawa watakuwa wanamanufaa zaidi na wengi tutawaona wa maana wakisimamia usafi wa jiji na si kukamata masufuria ya mamalishe na mitumba ya machinga.
Posted by MROKI On Tuesday, March 29, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo