Maonesho ya 88 mwaka 2010 yameanza kwa kishindo mjini Dodoma. Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko(WVBM) imejipanga kikamilifu kutoa huduma bora kwa muda wote wa maonesho. Tafadhali, usikubali kuhadithiwa, fika mwenyewe katika banda lao, ujionee.. Naibu Waziri wa Miundo mbinu Mh Hezekia Chibulunje na Mkuu wa Mkoa wa Singida Parseko Kone wakitembelea banda la WVBM.
Mgeni rasmi katika ufunguzi Mh Parseko Kone akipata maelezo kuhusu trekta jipya la kisasa lilitengenzwa na taasisi ya Camartec.
Mgeni rasmi katika ufunguzi Mh Parseko Kone akipata maelezo kuhusu trekta jipya la kisasa lilitengenzwa na taasisi ya Camartec.
Mh Kone akitazama bidhaa zilizoletwa na taasisi mbali mbali katika maonesho hayo..
0 comments:
Post a Comment