Wanachama na wapigakura wa UWT wakijadiliana jambo wakati wakipitia moja y kitabu cha wasifu wa mgombea.
Wanachama wakigawiwa karatasi kwaajili ya kupigia kura za Wagombea Ubunge wa Viti Maalum Dar es Salaam.
Wanachama wakigawiwa karatasi kwaajili ya kupigia kura za Wagombea Ubunge wa Viti Maalum Dar es Salaam.
Mshindi Viti maaluum kupitia NGOs mkoa DSM Ritha Louise Mlaki jana akishangiria baada ya kutangazwa mshimdi.
0 comments:
Post a Comment