Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Aggrey Marealle akihutubia wanafunzi ambao ni wanachama wa CCM wakati wa hafla ya kukabidhi kadi za uanachama wa CCM kwa wanafunzi 201 wa tawi la CCM la Chuo Kikuu Kishiriki Cha Tiba cha KCMC.Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo Jumatatu. Picha na mpiga picha wetu.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Aggrey Marealle akihutubia wanafunzi ambao ni wanachama wa CCM wakati wa hafla ya kukabidhi kadi za uanachama wa CCM kwa wanafunzi 201 wa tawi la CCM la Chuo Kikuu Kishiriki Cha Tiba cha KCMC.Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo Jumatatu. Kushoto ni mwenyekiti wa CCM tawi la KCMC, Bw. Mugisha Nkoronko na Katibu wa CCM Wilaya ya Moshi Mjini Yusufu Kombo. Picha na mpiga picha wetu.
0 comments:
Post a Comment