Zebedayo Naftari ambaye ni mwanachma wa Chama cha wachoma Chokaa Minazi Kinda Kigamboni Dar es Salaam wakipanga mawe ya kutengenezea chokaa katika tanuru jana kabla ya kulichoma.
Baadhi ya wanachma wa Chama cha wachoma Chokaa Minazi Kinda Kigamboni Dar es Salaam wakiendelea na shughuli ya kupakua tanuru la chokaa ambayo imeiva jana.
Baadhi ya wanachma wa Chama cha wachoma Chokaa Minazi Kinda Kigamboni Dar es Salaam wakiendelea na shughuli ya kupakua tanuru la chokaa ambayo imeiva jana.
Father,
ReplyDeleteasante sana kwa picha na maelezo. Sikuwahi kufahamu jinsi chokaa inavyotengenezwa hadi nilipoona picha hizi sasa napata 'idea'. Thx!