Nafasi Ya Matangazo

March 24, 2010

Mkurugenzi wa Biashara wa Kiwanda cha Saruji cha Twiga, Steinar Harstad (kushoto) na Ofisa wa Kiwanda hicho aneshugulika na Huduma za Jamii Natasha D'Souza wakimkabidhi Mbunge wa Kilosa na Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo tani 100 ya saruji kwaajili ya ujenzi wa nyumba za waathirika wa mafuriko Kilosa. Makabidhiano hayo yalifanyika jana Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Wednesday, March 24, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo