Nafasi Ya Matangazo

March 31, 2010

Moto ulivyotekeza vitu katika Nyumba ya Koplo Juma.
Upande wa Nyuma wa nyumba namba 32 ya Koplo Juma unavyoonekana.
RPC wa Kinondoni Elias Kalinga akizungumza na waandishi katika eneo la tukio baada ya kuimwa moto huo asubuhi ya leo.
Kamnda Kalinga akizungumza na Koplo Juma wa Nyumba za Polisi Kunduchi Mtongani ambazo nyumba tatu zilishika motyo huku ya Juma ikiteketea kabisa. Watu wa nyumba za jirani wote walitoa vyombo vyao nje wakati moto huo ulipozidi kupamba na kuhamia nyumba namba 31 na 33 baada ya kuteketeza nyumba 32 ya Koplo Juma.
Posted by MROKI On Wednesday, March 31, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo