Nafasi Ya Matangazo

December 20, 2008

Mhitimu katika Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) Eveline Anatori akiwa amembeba mwanae Lightness Lazaro jana wakati wa mahafali hayo. Dada huyu alinipasha kuwa na baba Lightness nae alikuwa anahitimu.
Wahitimu wakisubiri kunukiwa nondo zao
Wahitimu wakimsikiliza mgeni rasmi waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo.
Wahitimu wa Kozi ya Stashahada ya Uhasibu katika Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) Cecilia Aghabu 9kushoto) na Hadija Abdi wakiwa katika mahafali hayo ya sita ya chuo hicho jana.
Posted by MROKI On Saturday, December 20, 2008 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo