September 30, 2023

TUME YA MADINI YAIBUKA MSHINDI WA PILI KWENYE MAONESHO YA MADINI GEITA



Tume ya Madini kwa mara nyingine imeibuka Mshindi wa Pili kwenye Kundi la  Taasisi Wezeshi za Serikali katika Sekta ya Madini kwenye Maonesho ya Sita  ya Kimataifa ya Teknolojia ya Madini  yaliyofanyika Geita na kukabidhiwa tuzo na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman.

No comments:

Post a Comment