KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
August 02, 2022
RAIS AMTEUA WAZIRI WA ZAMANI WA FEDHA, ZAKHIA HAMDAN MEGHJI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Zakhia Hamdan Meghji kuwa Mwenyekiti wa Baraza
la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kwa kipindi cha pili.
No comments:
Post a Comment