September 12, 2014

OSCAR PISTORIUS ATIWA HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

JAJI katika kesi ya Oscar Pistorius amemtia hatiani kwa kuua bila kukusudia mkiambiaji huyo katika kesi uiliyokuwa ikimkabili kwa mauaji ya binadamu kwa uzembe.
 

Jaji Thokozile Masipa  ametoa hukumu hiyo dhidi ya mwanariadha huyo bingwa wa Olimpiki, kutoka Afrika Kusini aliyemwua mpenzi wake,Reeva Steenkamp kwa makusudi
baada ya mzozo chooni. Jaji huyo bado hajatoa ni dhabu gani itatolewa dhidi yake.

 Oscar Pistorius akisaidiwa kuingia Mahakamani jana.
Wanaandishi wa habari wakichukua picha wakati akiingia mahakamani hapo.

No comments:

Post a Comment