KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 16, 2014
MMOJA AFA NA WENGINE KUJERUHIWA BAADA YA KUANGUKIWA NA LORI LA KOKOTO MOROGORO LEO JIONI
Majira kama saa 11.30 eneo la bene msavu barabara ya iringa lori kubwa lilokuwa limebeba kokoto liliacha njia na kupinduka na kuwaangukia wafanyakazi wa kiwanda cha kutengeneza fulana cha Mazava ambao wengi wao ni wasichana mpaka sasa mtu mmoja amefariki na majerui wengine wamepelekwa katika hospitali ya mkoa wa morogoro na hali zao si nzuri.
Kamanda wa polisi mkoa wa morogoro Leonald Paul amethibitisha tukio hilo
Eneo ilipotokea ajali hiyo ilikuwa vilio,uongozi wa kiwanda haujazungumza chochote.
Father Kidevu Blog itawajuza zaidi.
No comments:
Post a Comment