March 30, 2012

Waziri Terezya akutana na Balozi wa EU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akizunumza na  Balozi Mpya wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania  Bw Filiberto Ceriani Sebregondi alipokwenda kujitambulasha kwa waziri,leo Mtaa wa  Luthuli Mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment