KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
March 30, 2012
Waziri Terezya akutana na Balozi wa EU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akizunumza na Balozi Mpya wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw Filiberto Ceriani Sebregondi alipokwenda kujitambulasha kwa waziri,leo Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment