January 04, 2012

Daraja letu

Daraja hili lenye urefu wa mita 500 limejengwa juu ya mto Lyandembera likiunganisha kitongoji cha Kinyasuguni na Mahango, Madibira, wilayani Mbarali mkoani Mbeya. Limejengwa kwa Sh milioni 10.

No comments:

Post a Comment