August 08, 2011

Mimi najisalimisha kwako Mkuu....!!!

"Afande IGP mimi naomba nijisalimishe kwako nimekuwa ......" Nikama vile Richard Mwaikenda kutoka Blogu ya Kamanda wa Matukio akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta General , Said Mwema hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa kitii sheria bila kushurutishwa uliofanyika makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya nje.Mwaikenda pia ni Mpigapicha wa Jamboleo.

No comments:

Post a Comment