KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
August 08, 2011
JK na viongozi wa Dini
Rais DKT.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na baadhi ya Masista watawa wa Kanisa Katoliki walioshiriki katika futari ambayo Rais aliwaalika viongozi wa dini mbalimbali katika ikulu ya jijini Dar es Salaam jana jioni.
No comments:
Post a Comment