KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
September 21, 2009
Furaha ya Sikukuu Ufukweni
Wakazi wa Dar es Salaam wakifurahia maji katika ufukwe wa baharti ya Hindi eneo la Coco jana ikiwa ni shamra shamra za kumalizaka kwa Mfungo mosi wa Eid El Fitri.
Umati wa watu ukiwa katika ufukwe wa Coco Dar es Salaam jana.
Ivi hakuna swimming kosti huko? au mabo ya dini tena maana naona mashuka na kanga tuu? mamiss tz mko wapi kutoa elimu hii
ReplyDelete