KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
September 28, 2009
FK anapojiajiri
Mdau nakukaribisha kwa utashi wako: Uandikie maelezo picha hii. Huyu ni Father Kidevu hapa ilikuwa Mtaa wa Samora Dar es Salaam. Msindi kupata zawadi. Tuma Caption yako mrokim@gmail.com (andika MAELEZO YA PICHA).
Hapa anaonekana Father Kidevu akigeuzageuza mihogo ili iive kwa haraka baada ya kuona anacheleweshewa order yake ya lunch. Father alikuwa na njaa sana na akawa hana subira akihisi kuwa mihogo haiivi kwa kasi anayotaka yeye.Njaa mwanamme!
Father Kidevu, sasa kama wewe umekula suti unachoma miogo kweli wateja wataweza kuja nunua miogo kutoka kwako?
ReplyDeleteHapa anaonekana Father Kidevu akigeuzageuza mihogo ili iive kwa haraka baada ya kuona anacheleweshewa order yake ya lunch. Father alikuwa na njaa sana na akawa hana subira akihisi kuwa mihogo haiivi kwa kasi anayotaka yeye.Njaa mwanamme!
ReplyDeleteMdau
USA
yakeyayo@yahoo.com