August 19, 2009

Credo Mwaipopo aumia goti

Mdau na Msakata ndinga Ulaya Credo Mwaipopo ameumia goti wakati wa mchezo wa ligi daraja la pili huko Sweden. Tumuombee apone haraka na arejee uwanjani. Anadai kifundo cha goti kiligeuka lakini hajavunjika.

No comments:

Post a Comment