July 28, 2009

Mayala na Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) akizugumza na Mtayarishaji Maarufu wa vipindi vya Televisheni na Mshauri wa Masuala ya Siasa katika Ubalozi wa Uingereza Nchini, Pascal Mayalla kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 28, 2009.

No comments:

Post a Comment