KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 28, 2009
Mayala na Pinda
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) akizugumza na Mtayarishaji Maarufu wa vipindi vya Televisheni na Mshauri wa Masuala ya Siasa katika Ubalozi wa Uingereza Nchini, Pascal Mayalla kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 28, 2009.
No comments:
Post a Comment