KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 15, 2009
Kikwete afungua MWIA leo
Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari wanawake Tanzania (MEWATA) Dr. Marina Njelekela(kulia) akimkaribish Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Salama Kikwete kufungua mkutano Mkuu wa tano wa Kimataifa wa Madaktari wanake (MWIA) Dar es Salaam Leo.
No comments:
Post a Comment