KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 03, 2009
Fadhili apata jiko-Shufaa apata gesi
Kambi ya Ukapera ya magazeti ya Habarileo na Dailynews imepata pigo baada ya Chipukizi wake Fadhili Akida kupata mwenza wake usiku wa kuamkia leo baada ya kufunga ndoa na Shufaa Kombo Suweid katika msikiti wa Mwinyimkuu, Magomeni, Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment