March 31, 2009

Vita vya Mgambo na Machinga Dar es Salaam.

Machinga wakikamatana na Mgambo Kanzu (aliyevalia fulana ya bendera ya taifa) katikati ya jiji la Dar es Salaam. Vijana hao huuza nguo nyakati za jioni stendi ya Posta.

No comments:

Post a Comment