December 06, 2008

Sisi ndio tumemfundisha Rais kusoma

Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Salma wakipiga picha ya pamoja na walimu waliomfundisha Rais Kikwete alipokuwa shule ya msingi Lugoba mwaka 1961. Kushoto ni Mwalimu Kunambi Kunambi na Edward Mazuma wakazi wa Kiswila Matombo Morogoro.

1 comment:

  1. kumbe krais wetu ni wa siku nyingi tokea 196 itakuwa aliwaona wanafunzi wa yesu.

    ReplyDelete