KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
December 18, 2008
Polis atimuliwa katika nyumba kwa kuuza mihogo
Askari Polisi akiwa nje ya nyumba waliyokuwa wakiishi Polisi Ufundi Barabara ya Kilwa Dar es Salaam jana baada ya uongozi wa kambi hiyo kutupia nje mumewe vitu hivyo kwa kile kilichodaiwa biashara ya mihogo inayofanywa na mkewe kambi hapo.
No comments:
Post a Comment