KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
December 01, 2008
Balozi Makoto Ito wa Japan amaliza muda wake TZ
Waziri Mkuu , Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya ngozi ya Pundamilia Balozi wa Japan nchini aliyemaliza muda wake, Makoto Ito ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam December 1, kuaga.
No comments:
Post a Comment