KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 23, 2008
Usiku wa Khangalicius na Mustafa Hassanali
Bibi Kidude nae alionyesha kwa staili yake ya kimwambao.
MC wa Chow hiyo Jocate
Ulikuwa ni usiku wa kukata na shoka kwa wavaaji wa khanga jijini Dar es Salaam waliposhuhudia mbunifumaarufu nchini Tanzania na Dunia, Mustafa Hassanali alipoonyesha mitindo mbalimbali iliyoshonwa kwa kutumia khanga.
No comments:
Post a Comment