June 28, 2008

Ukaguzi wa Swaziland.

Waandishi kutoka vyombo mbalimbalio vya Habari vya kimataifa, wakifanyiwa ukaguzi katika Kasri la Mfalme Lozitha Swaziland kabla ya kuhudhuria mktano wa Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC juzi.

No comments:

Post a Comment