June 28, 2008

JK arejea toka Swaziland na Rwanda

Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Rais Jakaya kikwete baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam Juni 27, 2008 akitokea Nchini Kigali na Swaziland alikohudhuria mikutano ya SADC na Jumuiya ya Afrika Mashariki.

No comments:

Post a Comment