KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 17, 2008
Hatari lakini Salama
Mkazi wa mjini Dodoma akipepeta ufuta katika ghala la chakula lililopo Uhindini mjini Dodoma huku mtoto wake mdogo akiwa pembeni jambo ambalo ni hatari kwa afya ya mtoto huyo kutokana na vumbi kali litokalo katika ufuta huo.
No comments:
Post a Comment