RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh.Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
iliyofanyika katika Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar leo
20-5-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na kuwasalimia Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
iliyofanyika katika Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar leo
20-5-2022.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na kuwasalimia Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
iliyofanyika katika Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar leo
20-5-2022.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Husssein Ali Mwinyi
akiwa katika viwanja vya Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar
akiondoka baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika msikiti
huo leo 20-5-2022 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana.
0 comments:
Post a Comment