Nafasi Ya Matangazo

December 08, 2020

Wananchi wa Kata ya Kiboshoa Kati, Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro leo Desemba 8,2020 wamepata haki yao ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua Diwani wa Kata yao baada ya uchaguzi uliopangwa kufnayika Oktoba 28,2020  pamoja na uchaguzi wa Mbunge na Rais kuahirishwa. Picha mbalimbali zikionesha wananchi hao wakishiriki uchaguzi huo.

Msimamizi wa Kituo cha Uchaguzi akimpa kararatasi ya kupigia kura mwananchi aliyefika katika Kituo cha Kupigia Kura cha Central 1 kilichopo Kibosho Kati.
Wananchi wakisubiri kuingia kupiga kura kumchagua Diwani wao ambapo wagombea wawili wameshiriki uchaguzi huo. 


Mwananchi wa Kibosho Kati akipiga kura 
Ukishapiga kura kidole kinawekwa rangi
Karani Muongozaji akiongoza wapiga kura kwenda kupiga kura

Mwananchi akitoka kupiga kura 
Karani Muongozaji akiongoza wapigakura kwenda kupiga kura.


Posted by MROKI On Tuesday, December 08, 2020 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo