Nafasi Ya Matangazo

November 07, 2016

 SPIKA wa zamani wa Bunge la Tanzania, Samwel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo nchini Ujerumani alikokua akipatiwa matibabu.

Rais John Magufuli tayari amemtumia salamu za pole Spika wa Bunge Job Ndugai na familia kufuatia msiba huo mzito.

Posted by MROKI On Monday, November 07, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo