Nafasi Ya Matangazo

June 03, 2016

Kijana mkazi wa Mkoani Mara akiwa amening'inia kwenye Hice namba za Usajili T775 CUB linalofanya safari kutoka Musoma kwenda Bunda jambo ambalo linaweza kuhatarisha usalama wa maisha yake. Pia ni kosa kwa dereva wa gari hilo kupakia abiria katika mfumo huo kwani anakiuka sheria za usalama barabarani.
Kijana huyo akiwa amedandia kari katika barabara kuu ya Musoma-Mwanza

Posted by MROKI On Friday, June 03, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo