Nafasi Ya Matangazo

August 25, 2015

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa mji wa Namanyere wilayani Nkasi (hawapo pichani),kabla ya kuanza kuwahutubia kwenye mkutano huo wa kampeni,kati ni Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda pamoja na anaewania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nkasi Ndugu Ali Kessy
Baadhi ya Wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo.
 
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Nelson Mandela ,Sumbawanga mjini tayari kuwahutubia wakazi wa mji huo.

Posted by MROKI On Tuesday, August 25, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo