Nafasi Ya Matangazo

April 09, 2015

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST, kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, William Saimon Sondi (wa pili kushoto), katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni washindi wengine wa droo hiyo, Tipwa Rashid Mapunda (kushoto) na Boutrous Hebron Mwanjali.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia), akifurahia jambo na washindi wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, (kutoka kushoto), Tipwa Rashid Mapunda, William Saimon Sondi na Boutrous Hebron Mwanjali, baada ya kuwakabidhi funguo za magari yao aina ya Toyota IST, katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, William Saimon Sondi katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Tipwa Rashid Mapunda katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni mume wa mshindi huyo, Mzee Simon Tawata Mapunda.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akimuelekeza jambo mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’ Tipwa Rashid Mapunda, baada ya kumkabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST, katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni mume wa mshindi huyo, Mzee Simon Tawata Mapunda.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Boutrous Hebron Mwanjali katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni mke wa mshindi huyo, Hellena na mtoto wao, Alpha.
Posted by MROKI On Thursday, April 09, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo